Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

MNDOLWA AAGIZA USIMAMIZI MADHUBUTI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI

Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Raymond Mndolwa akizungumza na maafisa Kilimo Mafundi Sanifu ambapo amewasihi usimamizi madhubuti wa skimu za Umwagiliaji kuhakikisha inaleta tija kwa wakulima.