• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • eMrejesho
  • Maswali
  • Barua Pepe
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani
    • Tunafanya nini
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi
    • Menejimenti
    • Idara
      • Idara ya Usanifu na Utafiti
      • Idara ya Uendeshaji
      • Idara ya Uendelezaji Miundombinu
      • Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
      • Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu
    • Vitengo
      • Uhakiki na Udhibiti ubora
      • Usimamizi wa Mazingira na Kijamii
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Akaunti
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Picha Mjongeo
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati 2023-2028
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Sera na Sheria
    • Vipeperushi
  • Mitambo
    • Vituo vya Ukodishaji
    • Utaratibu wa Ukodishaji
  • Visima
  • Skimu za Umwagiliaji
    • Orodha ya Skimu
  • Zabuni
Dkt. Richard Masika
Dkt. Richard Masika
Mwenyekiti wa Bodi
Bw. Raymond W. Mndolwa
Bw. Raymond W. Mndolwa
Mkurugenzi Mkuu

Pichani Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo, Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Umwagiliaji na Zana za Kilimo, Mha. Athumani Kilundumya (Wa pili Kushoto) wakuu wa wilaya na baadhi ya watumishi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu Bw. Raymond Mndolwa (wa kwanza kushoto) wakati wa ziara yake katika mradi wa ujenzi bwawa la Umwagiliaji Ndanda mkoani Mtwara.

Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo akinyunyizia maji kwenye mti aliopanda katika jengo la nyumba ya Meneja skimu ya Umwagiliaji Ndanda pamoja na Mhandisi wa Umwagiliaji wilaya ya Masasi, baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa bwawa na skimu ya Umwagiliaji Ndanda.

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, akielezea mbele ya Rais Dr. Samia Suluhu Hassan jinsi teknolojia za umwagiliaji zinavyosambazwa katika maeneo mbalimbali ya nchi kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, ikiwemo matumizi ya mashine kubwa za Umwagiliaji (Centre Pivot) kwenye baadhi ya mashamba ya serikali yenye hekta zaidi ya 13,000.

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bw. Raymond Mndolwa, akizungumza mbele ya Mheshimiwa Rais alipotembelea katika Kijiji cha Mitambo wakati wa Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika kuanzia Agosti 1 hadi 10, katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma akieleza utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji pamoja na teknolojia za Umwagiliaji.

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bw. Raymond Mndolwa, akitoa maelezo mbele ya Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, katika Kijiji cha Mitambo kwenye Maonesho ya Kilimo ya Nanenane ya mwaka 2025 jijini Dodoma, kuhusu teknolojia ya kisasa ya Centre Pivot System.

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, akizungumza alipotembelea Kijiji cha Mitambo katika banda la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwenye Maonesho ya Kilimo ya Nanenane jijini Dodoma, ambapo alisisitiza umuhimu wa matumizi ya teknolojia za kisasa za Umwagiliaji katika kuongeza tija kwenye Kilimo.

Baadhi ya wahandisi wa Umwagiliaji wa mikoa wakifuatilia maelekezo ya Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe akizungumza na wahandisi Umwagiliaji wa Mikoa.

Previous Next
Tunachofanya

UIBUAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI

UENDELEZAJI MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

UENDESHAJI, USIMAMIZI NA MATUNZO YA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

Habari Mpya
NIRC MBIONI UJENZI BWAWA LA KUVUNA MAJI YA UMWAGILIAJI BONDE...
17 Dec 2025
📍NIRC Karatu, Arusha. Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imewahakikishia wakulima skimu ya Umwagiliaji Mang'ola Barazani iliyopo wi...
WAKULIMA MANG'OLA WAFIKIWA ELIMU YA USIMAMIZI, UENDESHAJI NA...
17 Dec 2025
📍 NIRC Karatu, Arusha. Wakulima skimu ya Umwagiliaji Mang'ola Barazani iliyopo wilayani Karatu Mkoani Arusha wameishukuru Serikali kupitia Tum...
SERIKALI ITAHAKIKISHA MIRADI YOTE YA UMWAGILIAJI INAKAMILIKA...
17 Dec 2025
  NIRC Lindi. Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, ametembelea mradi wa Umwagiliaji uliopo wilayani Masasi mkoani Mtwara ikiwa moja ya m...
Tazama Zote
Matangazo

TANGAZO LA UCHANGIAJI ADA YA HUDUMA ZA UMWAGILIAJI

Sep 25, 2025
Tazama Zote

Video

02nd Dec, 2025
UTEKELEZAJI MRADI WA UJENZI BWAWA NA SKIMU YA TLAW...
02nd Dec, 2025
WAKULIMA WADOGO ZAIDI YA 700 KUNUFAIKA NA VISIMA V...
02nd Dec, 2025
UKWELI AMBAO HUKUWAHI KUELEZWA UKUAJI SEKTA YA UMW...
02nd Dec, 2025
ZAIDI YA HEKTA 33,947 ZA MASHAMBA KUMWAGILIWA KUSI...
Tazama Zote
Contact Us
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
S.L.P 146, Kikuyu Kusini, Dodoma
info@nirc.go.tz
+255 26 2962073
Kurasa za Karibu
Sheria ya Tume
Orodha ya Skimu za Umwagiliaji
Barua Pepe
iMIS
Tovuti Mashuhuri
Wizara ya Kilimo
Wizara ya maji
Wizara ya Ardhi
Bodi ya Usajil wa Wahandisi
Bodi ya Usajili wa Wakandarasi
Mahali
  • Sera ya Faragha
  • Kanusho
  • Vigezo na Masharti
  • Taarifa ya Hakimiliki
  • Ramani ya Tovuti
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na NIRC
    © 2025 NIRC, Haki zote zimehifadhiwa.