• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • eMrejesho
  • Maswali
  • Barua Pepe
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani
    • Tunafanya nini
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi
    • Menejimenti
    • Idara
      • Idara ya Usanifu na Utafiti
      • Idara ya Uendeshaji
      • Idara ya Uendelezaji Miundombinu
      • Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
      • Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu
    • Vitengo
      • Uhakiki na Udhibiti ubora
      • Usimamizi wa Mazingira na Kijamii
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Akaunti
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Picha Mjongeo
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati 2023-2028
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Sera na Sheria
    • Vipeperushi
  • Mitambo
    • Vituo vya Ukodishaji
    • Utaratibu wa Ukodishaji
  • Visima
  • Skimu za Umwagiliaji
    • Ramani za GIS
    • Orodha ya Skimu
Dkt. Richard Masika
Dkt. Richard Masika
Mwenyekiti wa Bodi
Bw. Raymond W. Mndolwa
Bw. Raymond W. Mndolwa
Mkurugenzi Mkuu

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, akielezea mbele ya Rais Dr. Samia Suluhu Hassan jinsi teknolojia za umwagiliaji zinavyosambazwa katika maeneo mbalimbali ya nchi kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, ikiwemo matumizi ya mashine kubwa za Umwagiliaji (Centre Pivot) kwenye baadhi ya mashamba ya serikali yenye hekta zaidi ya 13,000.

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bw. Raymond Mndolwa, akizungumza mbele ya Mheshimiwa Rais alipotembelea katika Kijiji cha Mitambo wakati wa Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika kuanzia Agosti 1 hadi 10, katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma akieleza utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji pamoja na teknolojia za Umwagiliaji.

Baadhi ya mitambo ya kisasa ya umwagiliaji ikiwemo Centre Pivot System iliyoonyeshwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji katika Kijiji cha Mitambo, Maonesho ya Kilimo ya Nanenane jijini Dodoma. Mitambo hii ina uwezo wa kumwagilia kwa ufanisi, kuongeza tija ya kilimo na kusaidia wakulima kutumia teknolojia za kisasa.

Baadhi ya mitambo ya kisasa ya umwagiliaji ikiwemo Centre Pivot System iliyoonyeshwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji katika Kijiji cha Mitambo, Maonesho ya Kilimo ya Nanenane jijini Dodoma. Mitambo hii ina uwezo wa kumwagilia kwa ufanisi, kuongeza tija ya kilimo na kusaidia wakulima kutumia teknolojia za kisasa.

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bw. Raymond Mndolwa, akitoa maelezo mbele ya Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, katika Kijiji cha Mitambo kwenye Maonesho ya Kilimo ya Nanenane ya mwaka 2025 jijini Dodoma, kuhusu teknolojia ya kisasa ya Centre Pivot System.

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, akizungumza alipotembelea Kijiji cha Mitambo katika banda la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwenye Maonesho ya Kilimo ya Nanenane jijini Dodoma, ambapo alisisitiza umuhimu wa matumizi ya teknolojia za kisasa za Umwagiliaji katika kuongeza tija kwenye Kilimo.

Baadhi ya wahandisi wa Umwagiliaji wa mikoa wakifuatilia maelekezo ya Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe akizungumza na wahandisi Umwagiliaji wa Mikoa.

Previous Next
Tunachofanya

UIBUAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI

UENDELEZAJI MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

UENDESHAJI, USIMAMIZI NA MATUNZO YA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

Habari Mpya
MKUU WA MKOA SONGWE AWATAKA WANANCHI, KAMATI YA ULINZI NA US...
29 Sep 2025
NIRC Songwe. MKUU wa Mkoa wa Songwe Jabir Makame, amewataka wananchi wa mkoa huo na kamati ya Ulinzi na Usalama kuwa macho na kutocheka na yeyote a...
MNDOLWA AWATAKA WATUMISHI WAPYA  NIRC KUZINGATIA UADILIFU KA...
29 Sep 2025
📍 NIRC Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amewataka watumishi wapya wa NIRC  kutumia maarif...
NIRC YAKAMILISHA UCHIMBAJI WA VISIMA MASHAMBA YA BBT NDOGOWE...
29 Sep 2025
  📍 Dodoma.  Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imekamilisha zoezi la uchimbaji wa visima katika shamba la Ndogowe na Chinangali l...
Tazama Zote
Matangazo

TANGAZO LA UCHANGIAJI ADA YA HUDUMA ZA UMWAGILIAJI

Sep 25, 2025
Tazama Zote

Video

08th Oct, 2025
UKUAJI SEKTA YA UMWAGILIAJI KATIKA MIKOA YA SHINYA...
26th Sep, 2025
WAAJIRIWA WAPYA NIRC, WASEMA WANA DENI KWA RAIS DK...
26th Sep, 2025
NIRC YAKAMILISHA UCHIMBAJI WA VISIMA MASHAMBA YA B...
26th Sep, 2025
KAMATI YA BUNGE YARIDHIKA NA MAENDELEO MRADI WA ME...
Tazama Zote
Contact Us
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
S.L.P 146, Kikuyu Kusini, Dodoma
info@nirc.go.tz
+255 26 2962073
Kurasa za Karibu
Sheria ya Tume
Orodha ya Skimu za Umwagiliaji
iMIS
Tovuti Mashuhuri
Wizara ya Kilimo
Wizara ya maji
Wizara ya Ardhi
Bodi ya Usajil wa Wahandisi
Bodi ya Usajili wa Wakandarasi
Mahali
  • Sera ya Faragha
  • Kanusho
  • Vigezo na Masharti
  • Taarifa ya Hakimiliki
  • Ramani ya Tovuti
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na NIRC
    © 2025 NIRC, Haki zote zimehifadhiwa.