Kupata Vifaa vya Umwagiliaji

‘Tuna zaidi ya hekta milioni 29.4 za ardhi kwa ajili ya kilimo, lakini hekta 468,000 sawa na asilimia 24 pekee ndio zimeendelezwa, hii manake bado tuko nyuma sana katika uzalishaji wa chakula pamoja na kuwa na eneo kubwa. Hili ni tatizo ambalo wizara italichukulia hatua za haraka’’, alisema Naibu Waziri. Aliendelea kusema kuwa kuna haja ya kuipa nguvu sekta ya umwagiliaji kwa kuwa dhana ya uchumi wa viwanda inategemea sana kilimo cha umwagiliaji na sio kutegemea msimu wa mvua, ambacho kwa muda mrefu kimekuwa hakikidhi mahitaji y