Vitengo

Uhakiki na Udhibiti Ubora
Objective To ensure compliance of all matters related to irrigation and drainage infrastructures. This Unit will perform the following activities:- (i) Facilitate quality of construction, rehabilitation and supervision of irrigation and drainage infrastructure for compliance to standards an...
Madhumuni Kutoa huduma ya usimamizi wa masuala ya fedha na vitabu vya mahesabu ya fedha za Tume. Kitengo hiki kitafanya kazi zifuatazo:- Mishahara (i) Kuandaa malipo ya Mishahara ikiwemo makato yakisheria; (ii) Usimamizi wa malipo ya mishahara; (iii) Kuandaa makisio ya masilahi ya...
Madhumuni Kutoa huduma zenyeuhakikana ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu katika usimamizi bora wa Rasilimali fedha. Kitengo hiki kitafanya kazi zifuatazo:- (i) Kufanya mapitio na kutoa taarifa juu ya udhibiti sahihi wa mapokezi, uhifadhi na matumizi ya rasilimali fedha za Tume; (ii) Kufanya map...
Madhumuni Kushughulikia masuala yanayohusu mazingira katika mifumo ya umwagiliaji na matupio ili kuhakikisha uendelevu. Kitengo hikikitafanya kazi zifuatazo:- (i) Kuandaa tathmini ya awali ya hifadhi ya Mazingira na Jamii; (ii) Kuwezesha na kuratibu tathmini ya awali ya athari za kimazin...
Madhumuni Kutoa utaalamu na huduma juu ya matumizi ya TEHAMA kwa Tume. Kitengo hiki kitafanya kazi zifuatazo:- (i) Kutekeleza sera ya TEHAMA na Serikali-Mtandao; (ii) Kuandaa na kuratibu mifumo ya usimamizi wa habari shirikishi katika Tume; (iii) Kuhakikisha vifaa vya kompyuta na prog...
Madhumuni Kutoa utaalamu nahuduma za kisheria kwa Tume. Kitengo hiki kitafanya kazi zifuatazo:- (i) Kutoa ushauri wa kisheria na usaidizi kwa Idara na Vitengo vya Tume juu ya tafsiri za sheria, masharti yamikataba, masharti yamakubaliano, masharti ya ubinafsishaji, mikataba ya manunuzi, udh...
Madhumuni Kutoa utaalamu nahuduma juu ya manunuzi, utunzaji, ugavi wa bidhaa na huduma, na ufutaji wa mali chakavuza Tume. Kitengohiki kitafanya kazi zifuatazo:- (i) Kuishauri Menejemintijuu ya masuala yanayohusu manunuzi ya bidhaa na huduma, mbinu za usimamizi na ufutaji wa mali chakavu;...
Madhumuni Kutoa utaalamu , huduma ya habari na mawasiliano kwa Tume; na kufanya majadiliano na umma na vyombo ya habari. Kitengo hiki kitafanya kazi zifuatazo:- (i) Kuandaa na kusambaza nyaraka kama vipeperushi, machapisho, makala za magazeti na kutaarifu umma juu ya sera, programu, majukum...