• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • eMrejesho
  • Maswali
  • Barua Pepe
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani
    • Tunafanya nini
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi
    • Menejimenti
    • Idara
      • Idara ya Usanifu na Utafiti
      • Idara ya Uendeshaji
      • Idara ya Uendelezaji Miundombinu
      • Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
      • Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu
    • Vitengo
      • Uhakiki na Udhibiti ubora
      • Usimamizi wa Mazingira na Kijamii
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Akaunti
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Picha Mjongeo
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati 2023-2028
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Sera na Sheria
    • Vipeperushi
  • Mitambo
    • Vituo vya Ukodishaji
    • Utaratibu wa Ukodishaji
  • Visima
  • Skimu za Umwagiliaji
    • Orodha ya Skimu
  • Zabuni
Dkt. Richard Masika
Dkt. Richard Masika
Mwenyekiti wa Bodi
Bw. Raymond W. Mndolwa
Bw. Raymond W. Mndolwa
Mkurugenzi Mkuu

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Mhe. Onesmo Buswelu (mwenye suti ya kijivu), akiwa katika picha ya pamoja na wakulima wadogo pamoja na viongozi wengine wakionyesha furaha yao mara baada ya makabidhiano ya pampu za umwagiliaji mkoani Katavi.

Wakulima mkoani Katavi wakiikagua na kuisogeza moja ya pampu za umwagiliaji mara baada ya kukabidhiwa rasmi na Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Pampu hizi zenye magurudumu kwa ajili ya urahisi wa uendeshaji zina uwezo wa kusukuma mita za ujazo 80 hadi 100 za maji kwa saa na kumwagilia hadi ekari 40 kwa siku, hatua inayowawezesha kulima misimu yote huku zikiwa na mipira ya mita 60 kuzuia uharibifu wa vyanzo vya maji na kulinda mazingira.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Mhe. Onesmo Buswelu (katikati), akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Katavi, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi na makabidhiano ya pampu za Umwagiliaji kwa wakulima wadogo mkoani Katavi. Pembeni yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa (mwenye kofia na tisheti ya NIRC), pamoja na viongozi wengine wa Serikali na chama na baadhi ya wakulima.

Baadhi ya pampu za umwagiliaji zilizoandaliwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kwa ajili ya kukabidhiwa kwa vikundi vya wakulima wadogo mkoani Katavi. Pampu hizi zinatarajiwa kuongeza eneo la Umwagiliaji kwa takribani ekari 2,080, zikiwa na uwezo wa kusukuma mita za ujazo 80 hadi 100 za maji kwa saa na kumwagilia hadi ekari 40 kwa siku. Zikiwa na magurudumu na mipira yenye urefu wa zaidi ya mita 60, vifaa hivi vinarahisisha uendeshaji na kulinda mazingira kwa kuzuia kilimo cha pembezoni mwa vyanzo vya maji.

Previous Next
Tunachofanya

UIBUAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI

UENDELEZAJI MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

UENDESHAJI, USIMAMIZI NA MATUNZO YA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

Habari Mpya
SERIKALI YAKABIDHI PAMPU 52 ZA UMWAGILIAJI WAKULIMA KATAVI K...
17 Aug 2026
📍 NIRC: Katavi. The Government, through the National Irrigation Commission (NIRC), has handed over 52 irrigation pumps worth over 500 million shil...
NIRC YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA NANE NANE
04 Aug 2026
📍NIRC: Dodoma. The Government, through the National Irrigation Commission (NIRC), is proceeding with the implementation of a major strategy to str...
SERIKALI KUZALISHA MAELFU YA AJIRA KWA VIJANA KUPITIA MRADI...
30 Jul 2026
  📍NIRC: Arusha. Katika jitihada za kumkomboa mkulima mdogo kutokana na utegemezi wa mvua, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inaendelea...
Tazama Zote
Matangazo

KUHAMA KWA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI

Jul 28, 2026

TANGAZO LA UCHANGIAJI ADA YA HUDUMA ZA UMWAGILIAJI

Sep 25, 2025
Tazama Zote

Video

22nd Jul, 2026
EKARI 13,000+ KUINGIA KWENYE UMWAGILIAJI: PAMPU 1,...
22nd Jul, 2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AHIMIZA WANANCHI...
22nd Jul, 2026
UKUAJI SEKTA YA UMWAGILIAJI KATIKA MIKOA YA SHINYA...
22nd Jul, 2026
IFAHAMU AINA YA TECHNOLOJIA YA UMWAGILIAJI WA MVUA...
Tazama Zote
Contact Us
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
S.L.P 146, Kikuyu Kusini, Dodoma
info@nirc.go.tz
+255 26 2962073
Kurasa za Karibu
Sheria ya Tume
Orodha ya Skimu za Umwagiliaji
Barua Pepe
iMIS
Hifadhi
Tovuti Mashuhuri
Wizara ya Kilimo
Wizara ya maji
Wizara ya Ardhi
Bodi ya Usajil wa Wahandisi
Bodi ya Usajili wa Wakandarasi
Mahali
  • Sera ya Faragha
  • Kanusho
  • Vigezo na Masharti
  • Taarifa ya Hakimiliki
  • Ramani ya Tovuti
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na NIRC
    © 2026 NIRC, Haki zote zimehifadhiwa.

    slot gacor