

Picha ya pamoja kati ya Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe na Wajumbe wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Wa sita kutoka kushoro ni Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe, Watano kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi Prof. Henry Mahoo na watatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliji Bw, Raymond Mndolwa.

Picha ya pamoja baina ya Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe, Wajumbe wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na baadhi ya Wakurugenzi wa Kampuni zinazojenga Miradi ya Umwagiliaji. Jijini Dodoma.

Members of Nirc Management, Ries, Dies, Daico and TADB in group photo during the joint meeting in Dodoma recently.

Washiriki wa mkutano wa pamoja baina ya tume na taasisi mbalimbali za Sekta binafsi mkoani Iringa.

Mkutano huo umewahusisha wataalam wa tume na wadau wa sekta binafsi kutoka taasisi binafsi zinazojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji nchini

Mkutano huo uliofanyika tarehe 13 agosti 2021 umekuwa na lengo la kubaini changamoto zinazokwamisha sekta binafsi katika kuchangia ukuaji wa sekta ya kilimo na hatua zinazopaswa kuchukuliwa na pande zote mbili kwa pamoja ili kuongeza eneo la umwagiliaji nchini kufikia Hekta milioni mmoja na laki mbili mwaka 2025.

KIKAO KAZI MOROGOR: Baadhi ya watendaji wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa Mikoa wakimsikiliza katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya (Hayupo pichani) wakati wa kikao kazi kilichofanyika mjini Morogoro tarehe 16 Septemba 2020.

Mradi wa Umwagiliaji Lower Moshi kwenye kipindi cha mavuno

Bwawa la Umwagiliaji Mkungugu