

MKANDARASI AKABIDHIWA ENEO LA UJENZI WA BWAWA LENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI KUMI NA MOJA CHAMWINO.

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan atembelea Banda la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji katika Maonyesho ya 88 / 2022. (Aliyevaa Kofia ni Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe na Kushoto kwa Mh Rais ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw, Raymond Mndolwa.

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan apewa maelezo ya elimu ya Kilimo Cha umwagiliaji kwa njia ya Matone katika Banda la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji viwanja vya 88 John Mwakangale jijini Mbeya.

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ashuhudia utilianaji Saini Mikataba 21 ya ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji baina ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wakandarasi, Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw, Raymond Mndolwa

Picha ya pamoja. Wajumbe wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji katika kikao kazi jijini Dodoma. Wa (nne) mstari wa katikati ni Mwenyekiti wa Bodi Prof. Henry Mahoo na wa (nne) mstari wa kwanza ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw, Raymond Mndolwa.

TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUJENGA MABWAWA 14 NA HEKTA ELFU 10 ZA UMWAGILIAJI KWA AJILI YA UZALISHAJI WA MBEGU, SHILLINGI BILIONI 420 KUTUMIKA.

Picha ya pamoja kati ya Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe na Wajumbe wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Wa sita kutoka kushoro ni Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe, Watano kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi Prof. Henry Mahoo na watatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliji Bw, Raymond Mndolwa.

Picha ya pamoja baina ya Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe, Wajumbe wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na baadhi ya Wakurugenzi wa Kampuni zinazojenga Miradi ya Umwagiliaji. Jijini Dodoma.

Members of Nirc Management, Ries, Dies, Daico and TADB in group photo during the joint meeting in Dodoma recently.

Washiriki wa mkutano wa pamoja baina ya tume na taasisi mbalimbali za Sekta binafsi mkoani Iringa.