• English
  • Kiswahili
  • Wasiliana Nasi
  • eMrejesho
  • Maswali
  • Barua Pepe
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani
    • Tunafanya nini
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi
    • Menejimenti
    • Idara
      • Idara ya Usanifu na Utafiti
      • Idara ya Uendeshaji
      • Idara ya Uendelezaji Miundombinu
      • Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
      • Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu
    • Vitengo
      • Uhakiki na Udhibiti ubora
      • Usimamizi wa Mazingira na Kijamii
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Akaunti
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Picha Mjongeo
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Mpango Mkakati 2023-2028
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Sera na Sheria
    • Vipeperushi
  • Mitambo
    • Vituo vya Ukodishaji
    • Utaratibu wa Ukodishaji
  • Visima
  • Skimu za Umwagiliaji
    • Orodha ya Skimu
  • Zabuni
Dkt. Richard Masika
Dkt. Richard Masika
Mwenyekiti wa Bodi
Bw. Raymond W. Mndolwa
Bw. Raymond W. Mndolwa
Mkurugenzi Mkuu

Taswira ya anga ikionyesha sehemu ya msafara wa magari na mitambo ya kuchimba visima vya umwagiliaji mara baada ya kuwasili mkoani Dodoma. Katika msafara huo, inaonekana mitambo miwili ya kimkakati yenye uwezo wa kuchimba visima virefu hadi mita 1,800, ikiwa ni sehemu ya uwekezaji wa Shilingi Bilioni 23.4 uliofanywa na Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC).

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Tume wakati wa hafla ya uzinduzi na makabidhi ya mitambo mipya ya kuchimba visima na magari ya usimamizi wa miradi mkoani Dodoma. Tume imejipanga kikamilifu kutumia vitendea kazi hivi kuleta mapinduzi ya kijani nchini.

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Mkurugenzi Mkuu wa NIRC, Bw. Raymond Mndolwa, pamoja na viongozi wa mkoa na Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji mara baada ya hafla ya uzinduzi wa mitambo mkoani Dodoma.

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa (wa nne kutoka kushoto), pamoja na viongozi na wageni waalikwa mara baada ya hafla ya uzinduzi wa mitambo na vitendea kazi vya umwagiliaji mkoani Dodoma.

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, akizindua rasmi mitambo 19 ya kuchimba visima na magari ya usimamizi wa miradi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Uzinduzi huu ni chachu katika kufikia lengo la kuongeza eneo la umwagiliaji na kukuza uchumi wa wakulima.

Taswira ya anga ikionyesha mitambo mikubwa 19 ya kuchimba visima, magari 17, na pikipiki 23(hazipo pichani) vyenye thamani ya Shilingi Bilioni 23.4 vilivyokabidhiwa kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Kati ya mitambo hiyo, ipo mitambo miwili ya kimkakati yenye uwezo mkubwa wa kuchimba visima virefu hadi mita 1,800, ikiwa ni sehemu ya mpango wa Serikali kuchimba visima 67,000 nchi nzima ili kukabiliana na changamoto za tabianchi na kuimarisha kilimo cha Umwagiliaji.

Previous Next
Tunachofanya

UIBUAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI

UENDELEZAJI MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

UENDESHAJI, USIMAMIZI NA MATUNZO YA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

Habari Mpya
NIRC NA BENKI YA DUNIA WAFANYA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MIR...
03 Feb 2026
📍 Tabora Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia imefanya mapitio ya utekelezaji wa mradi wa Mifumo  Himilivu...
MWELI AWATAKA WAHANDISI WA UMWAGILIAJI KUFUTA DHANA YA ‘KUKA...
03 Feb 2026
  _Apongeza NIRC kwa kuimarisha uwezo kupitia mafunzo ya Usimamizi wa Mikataba, Sheria, Ununuzi na Utafiti wa Miamba 📍 NIRC – Iringa...
NIRC, JKT YAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI
03 Feb 2026
📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa kuwa mfano wa ushirikiano kati ya J...
Tazama Zote
Matangazo

TANGAZO LA UCHANGIAJI ADA YA HUDUMA ZA UMWAGILIAJI

Sep 25, 2025
Tazama Zote

Video

02nd Dec, 2025
UTEKELEZAJI MRADI WA UJENZI BWAWA NA SKIMU YA TLAW...
02nd Dec, 2025
WAKULIMA WADOGO ZAIDI YA 700 KUNUFAIKA NA VISIMA V...
02nd Dec, 2025
UKWELI AMBAO HUKUWAHI KUELEZWA UKUAJI SEKTA YA UMW...
02nd Dec, 2025
ZAIDI YA HEKTA 33,947 ZA MASHAMBA KUMWAGILIWA KUSI...
Tazama Zote
Contact Us
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
S.L.P 146, Kikuyu Kusini, Dodoma
info@nirc.go.tz
+255 26 2962073
Kurasa za Karibu
Sheria ya Tume
Orodha ya Skimu za Umwagiliaji
Barua Pepe
iMIS
Tovuti Mashuhuri
Wizara ya Kilimo
Wizara ya maji
Wizara ya Ardhi
Bodi ya Usajil wa Wahandisi
Bodi ya Usajili wa Wakandarasi
Mahali
  • Sera ya Faragha
  • Kanusho
  • Vigezo na Masharti
  • Taarifa ya Hakimiliki
  • Ramani ya Tovuti
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na NIRC
    © 2026 NIRC, Haki zote zimehifadhiwa.