Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Mkurugenzi Mkuu wa NIRC, Bw. Raymond Mndolwa, pamoja na viongozi wa mkoa na Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji mara baada ya hafla ya uzinduzi wa mitambo mkoani Dodoma.