

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uzinduzi wa program ya mashamba makubwa (Block Farm) Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.

Mhe, rais Samia Suluhu Hassan akipanda na kuumwagiliaji mti katika uzinduzi wa Mashamba makubwa (Block Farm) Chinangali Dodoma.

Mhe, rais Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuzindua program ya Mashamba makubwa ya kilimo cha umwagiliaji (Block Farm) Chinangali Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiliaji saini mikataba ya upembuzi na ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji baina yaTume na wakandarasi walioshinda zabuni mbalimbali. (Chinangali - Dodoma)

Magari 53 mapya yaliyonunuliwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuwa chachu ya utendaji kazi katika ngazi ya wilaya na mikoa.

Baadhi ya mitambo mipya kati ya mitambo 32 iliyonunuliwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwaajili ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchini.

Muonekano wa kitalu nyumba kwaajili ya kufundishia

Matayarisho ya shamba la kufundishia

Muonekano wa Bweni baada ya kufanyiwa ukarabati

TUME YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI BASHE, UKARABATI KITUO CHA VIJANA BIHAWANA WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 90%.