

KIKAO KAZI MOROGORO: Baadhi ya watendaji wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa Mikoa wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya (Hayupo pichani) wakati wa kikao kazi kilichofanyika mjini Morogoro tarehe 16 Septemba 2020.

KIKAO KAZI MOROGORO: Kaimu Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Daudi Kaali akimkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya wakati wa kikao kazi baina ya Katibu Mkuu Kusaya, Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa M

KIKAO KAZI MOROGORO: Picha ya pamoja, Wajumbe katika kikao kazi baina ya Katibu Mkuu wizara ya Kilimo,Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa mikoa tarehe 16 Septemba 2020. Waliokaa mstari wa mbele katikati ni Waziri wa Kilimo Bw. Ge

Banio Mradi wa Lifua, Kanda ya Mbeya
Mradi wa Umwagiliaji Lower Moshi kwenye kipindi cha mavuno

Bwawa la Umwagiliaji Mkungugu

Ukarabati wa mfereji katika Mradi wa Umwagiliaji Lemkuna

Banio la kuchepusha maji kutoka kwenye chanzo na kupeleka kwenye skimu ya umwagiliaji Ndungu

Mradi wa Umwagiliaji Kivulini